Thursday, 11 February 2016

IJUE VIZURI VWAWA YETU



PENDA SANA MBOZI YETU


 

Mwakataaaa......!!!! Mwapolaaaaa!!!! Si vibaya tukifahamiana kwa kila mmoja wetu kutaja sehemu atokayo katika ramani hii. Pia ndugu zangu siku zinaenda mbiyo sanaaa!! Na taarifa nilizonazo kuhusu muitikio juu ya ule mkakati wetu wa kuwatembelea wadogo zetu pale mbozi mission katika kituo cha kulelea watoto yatima hauridhishi sana. Ombi langu ni kwamba tujitahidi jamani kwa chochote ulichonacho bila kujali ni kitu au kiasi gani kwakuwa kutoa ni moyo. 

Tuyisanyante Bhayaya... 

Tuyisuvhe hansi... 

Mungu atatubariki sote!!!

No comments:

Post a Comment